Monday, October 6, 2014

Picha: Arsene Wenger na Jose Mourinho walivyotaka kuzichapa uwanjani.

1412517546264_wps_25_Chelsea_V_Arsenal_5_10_20




Kocha wa Arsenal, Arsene Wenger na mwenzake wa Chelsea, Jose Mourinho almanusra wageuke Mayweather na Maidana kwenye mechi kali iliyofanyika Stamford Bridge kati ya timu hizo.
Wakati mechi ikiendelea ikiendela palitokea kutokuelewana baina ya makocha hao wawili baada ya Wenger kumfuata Mourinho na kuanza kusukumana baada ya beki wa Chelsea, Cahil kumchezea rafu Sanchez.
1412518009731_wps_32_Chelsea_s_Portuguese_mana
Mwamuzi akijaribu kuwaamua
Makocha hao walijikuta wakianza kusukumana na nakutokea mzozo hadi mwamuzi alipowafuata na kuwapa onyo kuwa wakiendelea atawatoa wote nje ndipo walipotulia. Mchezo uliisha kwa Chelsea kushinda 2-0.
Akiongea na waandishi wa habari, Wenger alisema hajutii kitendo hicho.
1412518223101_Image_galleryImage_LONDON_ENGLAND_OCTOBER_05
Mzozo huo uliteka hisia za watu wengi
1412517666924_wps_30_Arsene_Wenger_manager_hea
Ubabe ubabe tu
1412517665657_Image_galleryImage_Arsene_Wenger_manager_hea

No comments:

Post a Comment

TEAM PARTICIPATING