Wednesday, October 15, 2014

Cristiano Ronaldo awa staa wa pili kufikisha likes milioni 100 Facebook baada ya Shakira.

10334368_814560345274579_6152529128868119107_n
Mchezaji wa Real Madrid na Ureno, Cristiano Ronaldo amekuwa staa wa pili duniani baada ya Shakira kufikisha likes milioni 100 kwenye mtandao wa Facebook.
Ronaldo pia ni miongoni mwa wanamichezo mwenye followers wengi kwenye mtandao wa Twitter akiwa na milioni 30. Hii ni moja ya sababu inayomfanya mwanamichezo huyo kuingiza fedha nyingi zaidi kuliko wenzie hasa kwenye soka.
Kupitia ukurasa wake wa Facebook wa mwanamichezo huyo ameandika: I’m so happy I reached 100 million friends on Facebook. It’s amazing! Thank you everyone.

Friday, October 10, 2014

Spain yapoteza mechi ya kwanza ya kufuzu Euro 2016 baada ya miaka 8.

s48

Timu ya taifa ya Hispania jana usiku ikiwa ugenini ikicheza mchezo wao kugombea kufuzu Euro 2016 dhidi ya Slovakia, ilijikuta ikifungwa katika kipindi cha kwanza kwa makosa ya kipa Iker Casillas aliyefanya uzembe wa ajabu na kuruhusu Slovakia kupata goli la kuongoza kupitia free-kick iliyoenda moja kwa moja ndani ya nyavu.
Katika dakika 83, mchezaji wa Spain, Paco Alcacer alisawazisha na mashabiki wengi wakajua mchezo huo utaisha kwa sare lakini goli la mchezaji wa zamani wa Chelsea na Rangers, Miroslav Stoch likaipa Slovakia ushindi katika dakika 87 dhidi ya mabingwa watetezi wa Ulaya.
Baada ya mchezo huo wachambuzi wa soka wamesema sasa inabidi apewe nafasi David De Gea na Iker Casillas apumzishwe. Hii ni mechi ya kwanza kwa Spain kupoteza katika hatua ya kufuzu michuano ya Ulaya au kombe la dunia katika kipindi cha miaka 8. Diego Costa bado hajafanikiwa kuifungia Spain goli tangu alipoamua kuitumikia timu hiyo.

Monday, October 6, 2014

Picha: Arsene Wenger na Jose Mourinho walivyotaka kuzichapa uwanjani.

1412517546264_wps_25_Chelsea_V_Arsenal_5_10_20




Kocha wa Arsenal, Arsene Wenger na mwenzake wa Chelsea, Jose Mourinho almanusra wageuke Mayweather na Maidana kwenye mechi kali iliyofanyika Stamford Bridge kati ya timu hizo.
Wakati mechi ikiendelea ikiendela palitokea kutokuelewana baina ya makocha hao wawili baada ya Wenger kumfuata Mourinho na kuanza kusukumana baada ya beki wa Chelsea, Cahil kumchezea rafu Sanchez.
1412518009731_wps_32_Chelsea_s_Portuguese_mana
Mwamuzi akijaribu kuwaamua
Makocha hao walijikuta wakianza kusukumana na nakutokea mzozo hadi mwamuzi alipowafuata na kuwapa onyo kuwa wakiendelea atawatoa wote nje ndipo walipotulia. Mchezo uliisha kwa Chelsea kushinda 2-0.
Akiongea na waandishi wa habari, Wenger alisema hajutii kitendo hicho.
1412518223101_Image_galleryImage_LONDON_ENGLAND_OCTOBER_05
Mzozo huo uliteka hisia za watu wengi
1412517666924_wps_30_Arsene_Wenger_manager_hea
Ubabe ubabe tu
1412517665657_Image_galleryImage_Arsene_Wenger_manager_hea

Wednesday, October 1, 2014

Video: Angalia Ronaldo Wa Bandia Anavyotamba Mitaani.

Video: Angalia Ronaldo Wa Bandia Anavyotamba Mitaani
Akionekana ni mwenye ngozi nyororo na umbo lenye mvuto kama mshambuliaji wa klabu bingwa barani Ulaya Real Madrid, kijana anaetambulika kwa jina Joe Weller, amekua akiwahadaa wasichana kwa kujifafanisha na Cristiano Ronaldo.
Kijana huyo amekuwa akifanya matukio ya kuwahadaa watu hususana wasichama, katika mji wa Brighton uliopo kusini mwa Uingereza ambapo mara kadhaa wasichana wamekua wakivutiwa nae na kufikia hatua ya kumtamani kutokana na mvuto wake.
 

Hata hivyo wasichama wengi wamekuwa wakiamini kijana huyo ndio Ronaldo wa ukweli, kutoka kwenye klabu ya Real Madrid kwa namna anavyovaa na muonekano wake na pia hutumia matamshi ya maneno ya lugha ya kireno.
Mbali na hivyo wasichama wengine hufika mbali zaidi kwa kutaka kumbusu na kumkumbatia ikiwa ni sehemu ya kutaka kuonyesha hisia zao kimapenzi kwa Cristoano Ronaldo ambaye inasemakana hupata wakati mgumu anapokutana na wakinadada mitaani.


Fabregas Na Filipe Luis Watupia Picha Za Shangwe la Ushindi Instagram.

Fabregas Na Filipe Luis Watupia Picha Za Shangwe la Ushindi Instagram

Kiungo kutoka nchini Hispania, Cesc Fabregas pamoja na beki wa pembeni kutoka nchini Brazil Filipe Luis wameanika picha za wachezaji wenzao wa klabu ya Chelsea katika mtandao wa kijamii wa Instagram kwa dhamira ya kuonyesha namna walivyokuwa na furaha mara baada ya kupata point tatu ugenini usiku wa kuamkia hii leo huko mjini Lisbon nchini Ureno.
Fabregas na Filipe Luis, walikuwa sehemu ya kikosi cha Chelsea kilichoibuka na ushindi katika mchezo huo dhidi ya Sporting Lisbon, wameweka picha katika mtandao huo zikionyesha matukio tofauti ya furaha.
Picha ya Filipe Luis inaonyesha furaha iliyokuwa imekithiri miongoni mwa wachezaji wa Chelsea walipokuwa katika vyumba vya kubadilishia na picha ya Fabregas inaonyesha wachezaji wa Chelsea kwenye ndege tayari kwa safari ya kurejea jijini London nchini Uingereza.
Katika mchezo huo Chelsea walifanikiwa kuchomoza na ushindi wa bao moja kwa sifuri lililofungwa na kiungo kutoka nchini Serbia, Nemanja Matic.

Arsene Wenger Ni kiboko ya Mameneja 207 Wa Ligi Ya England Kwa Miaka 18.

Arsene Wenger Ni kiboko ya Mameneja 207 Wa Ligi Ya England Kwa Miaka 18

Meneja wa klabu ya Arsenal, Arsene Wenger hii leo ametimiza miaka 18 kamili tangu alipoanza kuitumikia klabu hiyo ya kaskazini mwa jijini London oktoba mosi mwaka 1996.
Wenger, anatimiza miaka 18 huku hii leo kikosi chake kikikabiliwa na mchezo wa ligi ya mabingwa barani Ulaya dhidi ya Galatasaray kutoka nchini Urutuki ambapo itamlazimu kufanya jitihada za kuinogesha furaha ya kuwa klabuni hapo kwa muda mrefu kwa kikosi chake kusaka ushindi.
Uwepo wa meneja huyo kutoka nchini Ufaransa, unaendelea kumpa sifa ya tofauti katika ligi ya nchini Uingereza kutokana na kuwa mtu aliyedumu kibaruani kwa kipindi kirefu huku klabu nyingine zikifanya mabadiliko ya mara kwa mara katika mabenchi yao ya ufundi.
Tangu mwaka 1996 Arsene Wenger, akiwa meneja wa klabu ya Arsenal klabu nyingine 43 zilizoshiriki ligi tangu kipindi hicho zimebadilisha jumla ya mameneja 207 na kumuacha akiwa meneja pekee anaebaki kuwa kiongozi wa benchi la ufundi la The Gunners.
Kwa mantiki hiyo sasa Arsene Wenger, anaendelea kuwa meneja aliyedumu Arsenal kwa kipindi kirefu kuliko meneja mwingine yoyote aliyepita klabuni hapo na pia anakuwa meneja aliyekaa kwa kipindi kirefu zaidi ya wengine katika ligi ya nchini Uingereza baada ya kuondoka kwa Sir Alex Ferguson aliyekuwa akikinoa kikosi cha Man Utd.
Arsene Wenger alitambulishwa rasmi kuwa meneja wa klabu ya Arsenal Oktoba mosi mwaka 1996, baada ya kukamilisha mipangop ya kusaini mikataba na viongozi wa klabu hiyo Septemba 30 mwaka huo.

Sunday, September 28, 2014

EPL: Liverpool vs Everton matokeo haya hapa.

article-2771838-21B5726C00000578-551_636x418
Nchini Uingereza mjini Liverpool leo kulikuwa mchezo wa wapinzani wa jadi kati ya majogoo wa jiji Liverpool dhidi ya Everton.
Wakiwa hawajawahi kushinda katika uwanja wa Anfield katika kipindi cha miaka 15 – Everton walijitupa katika uwanja wa wapinzani wao wakiwa na nia ya kuvunja rekodi mbovu waliyonayo kwenye uwanja huo, lakini alikuwa nahodha Steven Gerrard katika dakika ya 65 aliandikia timu ya Liverpool goli la kwanza kwa mkwaju wa faulo.
Huku dakika zikiwa zinayoyoma na mashabiki wa Liverpool wakia wamejiwekea uhakika wa kutamba mbele ya wapinzani wao, katika dakika ya 92 mlinzi wa kimataifa wa England Phil Jagielka  alifumua shuti kali  lilojaa kimiani na kuisawazishia Everton.
Timu zilipangwa hivi
Liverpool (4-2-3-1): Mignolet 5.5; Manquillo 7, Skrtel 7.5, Lovren 7, Moreno 7.5; Gerrard 8, Henderson 8.5; Sterling 8, Lallana 7.5, Markovic 5 (Coutinho 60); Balotelli 6 (Lambert 88)
Subs not used: Jones (GK), Enrique, Toure, Lambert, Coutinho, Lucas, Suso
Manager: Brendan Rodgers 7.5
Goal: Gerrard 64
Booked: Gerrard, Moreno
Everton (4-3-3): Howard 5.5; Hibbert 5.5 (Browning ’73), Stones 7, Jagielka 8, Baines 6.5; McCarthy 7, Barry 5.5, Besic 7 (Eto’o ’80); Lukaku 5, Naismith 6, Mirallas 6 (McGeady ’31)
Subs not used: Robles (GK), Gibson, Osman, Alcaraz
Manager: Roberto Martinez 6.5
Goal: Jagielka 90+1
Booked: Barry

EPL: Man City vs HulL City magoli na matokeo haya hapa

1411833819015_Image_galleryImage_HULL_ENGLAND_SEPTEMBER_27
Siku saba baada ya kutoshana nguvu na viongozi wa ligi Chelsea, vijana wa Manuel Pellegrini Manchester City leo walisafiri mpaka KC Stadium kucheza dhidi ya Hull City.
Iliwachukua dakika saba tu Manchester City kuandika goli la kwanza kupitia Sergio kun Aguero na muda mfupi baadae Edin Dzeko akaifungia City goli la pili kwa mkwaju mkali nje ya eneo la 18 la Hull City.
Vijana wa Steve Bruce wakapambana na kufanikiwa kupata goli la kwanza baada ya Eliaquim Mangala kujifunga wakati akizuia krosi ya hatari golini kwake dakika ya 21, na dakika 11 baadae Hull wakapata penati ambayo iliwekwa kimiani na Hernandez.
Mpaka mapumziko timu zilikuwa zimetoshana nguvu.
Kipindi cha pili magoli mawili ya Frank Lampard na Edin Dzeko kwa mara nyingine tena yakawapa ushindi wa 4-2 dhidi ya Hull City.
Timu zilipangwa
Hull City: McGregor 5.5; Rosenior 6.5, Dawson 6.5, Davies 6, Robertson 5.5 (Brady 83); Elmohamady 6, Diame 6.5, Huddlestone 6, Livermore 5.5 (Ben Arfa 74, 6); Hernandez 6.5 (Ramirez 74, 6), Jelavic 7 
Substitutes not used: Bruce, Chester, Harper, Quinn
Scorers: Mangala own goal 21; Hernandez pen 32
Manchester City: Caballero 5, Zabaleta 6.5, Mangala 4.5, Clichy 5.5, Kompany 6.5, Silva 7 (Demichelis 76, 6), Fernandinho 6 (Jesus Navas 66, 6), Yaya Toure 6.5, Milner 6, Aguero 6.5 (Lampard 71, 7), Dzeko 8
Substitutes not used: Hart, Sagna, Kolarov, Pozo
Scorers: Aguero 7; Dzeko 11, 68; Lampard 87
Booked: Mangala, Clichy
Referee: Anthony Taylor 6
Star man: Sergio Aguero 

EPL: Arsenal vs Tottenham – matokeo haya hapa.

article-2772055-21B7B7E300000578-576_636x444
Baada ya mchana wa leo kuhushudia ‘MersesydeDerby’ kati ya Liverpool dhidi ya Everton, muda mfupi uliopita huko London ya kaskazini mahsimu wengine wa EPL, Arsenal na Tottenham Hotspur walikuwa dimbani kushindania ufalme wa jiji hilo – North London Derby.
Mchezo huo uliokuwa mgumu na kasi kwa timu zote mbili umemalizika hivi punde katika uwanja wa Emirates na kuisha kwa matokeo ya sare ya 1-1.
Spurs walitangulia kufunga goli la kuongoza katika dakika ya 56 mfungaji akiwa Chadli, lakini mabadiliko ya Arsenal ya kumuingiza Alexis Sanchez yalichochea timu hiyo kupata goli la kusawazisha kupitia Chamberlain katika dakika ya 74.
Timu Zilipangwa kama ifuatavyo
Arsenal: Szczesny, Chambers, Mertesacker, Koscielny, Gibbs, Arteta (Flamini 28), Oxlade-Chamberlain, Ramsey (Cazorla 45), Wilshere (Sanchez 63), Ozil, Welbeck.
Subs Not Used: Rosicky, Podolski, Ospina, Coquelin.
Booked: Oxlade-Chamberlain, Wilshere, Chambers.
Goals: Oxlade-Chamberlain 74.
Tottenham Hotspur: Lloris, Naughton, Kaboul, Vertonghen, Rose (Dier 83), Mason, Capoue, Lamela, Eriksen (Lennon 62), Chadli (Bentaleb 80), Adebayor.
Subs Not Used: Soldado, Vorm, Townsend, Fazio.
Booked: Lamela, Chadli, Adebayor, Lennon, Mason, Rose.
Goals: Chadli 56.
Att: 59,900
Ref: Michael Oliver (Northumberland).

EPL: Chelsea bado moto – hiki ndicho walichowafanya Aston Villa.

1411830758819_wps_6_Oscar_of_Chelsea_celebrat
Wiki moja baada ya kushindwa kupata ushindi kwa mara ya kwanza msimu huu kwenye ligi kuu ya England, viongozi wa EPL klabu ya Chelsea leo waliwakaribisha Aston Villa katika uwanja wa Stamford Bridge.
Matokeo ya mchezo huo ni ushindi wa kwa vijana wa Jose Mourinho dhidi ya Villa ambao walipoteza mechi yao ya wiki iliyopita waliyocheza dhidi ya Arsenal.
Magoli ya Oscar, Willian na Diego Costa yalitosha kuwapa Chelsea ushindi wa magoli 3-0 na hivyo kuendelea kushika usukani mwa msimamo wa ligi hiyo ya England.
TIMU ZILIPANGWA HIVI
CHELSEA 4-2-3-1: Courtois 6.5; Ivanovic 7, Cahill 5.5, Terry 6, Azpilicueta 6; Fabregas 7, Matic 7; Willian 7.5, Oscar 7 (Mikel 77), Hazard 6 (Schurrle 68, 6); Costa 7 (Remy 81).
Subs not used: Cech, Luis, Zouma, Drogba, Remy.
Bookings: Cahill, Fabregas.
Manager: Jose Mourinho 7.
ASTON VILLA 4-5-1: Guzan 6.5; Hutton 6, Senderos 6, Baker 6, Cissokho 6; Richardson 6 (Bent 69, 5), Cleverley 6.5, Westwood 6.5, Delph 7, Weimann 5 (N’Zogbia 69, 5); Agbolahor 7.
Subs not used: Given, Clark, Bacuna, Sanchez, Grealish.
Bookings: Cleverley, Senderos
Manager: Paul Lambert 6

LaLiga: Matokeo ya Real Madrid vs Villareal na walichokifanya mashabiki wa Man United vyote viko hapa.

1411830960089_wps_25_Real_Madrid_s_Cristiano_R

Baada ya kuifumua Elche magoli 5-1 katikati mwa wiki hii, Real Madrid leo walisafiri mpaka katika dimba la EL Madrigal kukipiga dhidi ya Villareal katika mchezo wa kugombea uchampion wa ligi kuu ya Hispania – Laliga.
Wakicheza kwa kujihami Villareal waliruhusu nyavu zao kuguswa katika dakika ya 32 baada ya Luka Modric kuipatia Madrid goli la kuongoza.
Mwanasoka bora wa ulaya na dunia Cristiano Ronaldo kwa mara nyingine tena wiki hii akaifungia Madrid goli la pili katika dakika ya 40 ya mchezo huo.
Mpaka mwamuzi anapuliza kipenga Madrid walikuwa na ushindi wa 2-0 kibindoni.
1411833935717_wps_5_epa04420167_View_of_a_pla
Lakini wakati mchezo huo ukiendelea kikundi cha mashabiki wa Man UNited wanaojiita ‘United Reel’ walitimiza ahadi yao ya kurusha ndege juu ya uwanja huo huku ikiwa na ujumbe kwenye kwa Ronaldo kwamba arudi nyumbani Manchester.

EPL: Rooney aingusha timu yake, haya hapa matokeo ya Man U vs West Ham

article-2771941-21B6773E00000578-530_964x386
Ligi kuu ya Uingereza imeendelea tena leo huku klabu ya Manchester United ikijitupa uwanjani kucheza dhidi ya West Ham katika kuusaka ushindi wa pili kwenye ligi hiyo tangu ilipoanza.
Katika mchezo huo uliochezwa kwenye uwanja wa Old Trafford, nahodha wa klabu ya Manchester United Wayne Rooney alifanya makosa ya kizembe yaliyomsababishia kadi nyekundu ya moja moja baada ya kumkata mtama Stewart Downing na hivyo atakosa mechi 3 zijazo za premier league.
Pamoja na Rooney kuwaangusha wachezaji wenzie kwa kadi nyekundu ya kujitakia, lakini Manchester ilifanikiwa kupata ushindi wa 2-1 dhidi ya vijana wa Sam Alladyce.
Rooney alianza kuifungia United goli dakika za mwanzo tu za mchezo na dakika kadhaa baadae Robin van Persie akaiandikia timu yake goli la pili.
West Ham walitulia na kujipanga vizuri na kufanikiwa kufunga goli lao moja kupitia Sakho baada ya kutokea piga nikupige langoni mwa Man United.
Man United walicheza kwa zaidi ya dakika 40 wakiwa pungufu baada ya Rooney kupewa kadi nyekundu.
TIMU ZILIPANGWA HIVI….
Manchester United (4-1-2-1-2): De Gea 6; Rafael 6, McNair 7, Rojo 6, Shaw 6; Blind 7; Herrera 7 (Valencia 74 6), Di Maria 6 (Thorpe 90 6); Rooney 4; Van Persie 7, Falcao 6 (Fletcher 65 6).
Sent off: Rooney.
Booked: Herrera.
West Ham (4-3-1-2): Adrian 5; Demel 6 (Jenkinson 65 6), Tomkins 6, Reid 5, Cresswell 6; Song 5, Poyet 6, Amalfitano 6 (Cole 61 6); Downing 6: Sakho 7, E Valencia 6.
Booked: Song, Sakho.
Referee: L Mason.
Man of the match: Blind.

Rekodi mpya ya Messi na matokeo ya FC Barcelona vs Granada.

1411839045997_wps_15_Barcelona_s_Brazilian_for
Akiwa na miaka 27 tu mwanasoka bora wa zamani wa dunia Lionel Messi amezidi kuchafua vitabu vya rekodi kwa kuweka na kuzivunja rekodi mwenyewe.
Leo hii wakati FC Barcelona ilipoikaribisha Granada kwenye dimba la Nou Camp, Lionel Messi alifunga magoli mawili katika ushindi wa magoli 6-0.
Magoli hayo mawili yamemfanya Messi atimize jumla ya magoli 401 katika mechi 524 alizoichezea FC Barca na Argentina. Hii ni rekodi mpya kwa Messi.
Magoli mengine ya Barca yalifungwa na Neymar aliyefunga matatu, na Rakitic.
Timu ziliapangwa kama ifuatavyo
Barcelona: Bravo, Mathieu, Dani Alves, Adriano, Mascherano, Busquets (Bartra 64), Xavi, Rakitic (Sergi 58), Neymar, El Haddadi (Ramirez 71), Messi.
Subs not used: Ter Stegen, Montoya, Pedro, Iniesta.
Goals: Neymar 26,45 & 66, Rakitic 43, Messi 62 & 82.
Bookings: Dani Alves
Granada: Fernandez Alvalleros, Foulquier, Claude Babin, Nyom, Murillo, Yuste Canton (Pascual Israfilov 45), Marquez Moreno, Iturra, Rico Castro (Medina Luna 45), El-Arabi (Martins 73), Success Ajayi.
Subs not used: Olazábal Paredes, Mainz, Nounkeu, Cordoba.
Bookings: Rico Castro, Foulquier.
Referee: Juan Martínez Munuera
Attendance: 72,596

Thursday, June 19, 2014

UHOLANZI WALEEEEEE... 16 BORA WAIPIGA AUSTRALIA GOLI 3 KWA 2 NA KUWAONDOA MASHINDANONI.


Aliingia kumaliza kazi!:  Memphis Depay akitokea benchi amefunga bao la tatu kwa shuti la mbali na kuipa ushindi wa mabao 3-2 Uholanzi.HATA kama Louis van Gaal alianza kufunga, lakini haikuwa mechi ya kukaa kwenye kiti. Ulikuwa mchezo mgumu kwake kutokana na uimara wa Australia, lakini dakika za mwisho zimemalizika kwa Uholanzi kushinda mabao 3-2.

Bao la kusawazisha alilofunga Timu Cahil liliwashitua Waholanzi ambao waliokuwa wanashangilia bao la Arjen Robben, lakini kabla hawajakaa wakashangaa nyavu zao kutikishwa.

Australia ambao wako kiwango cha chini kuliko timu zote zinazoshiriki kombe la dunia mwaka huu, walifanya shambulizi la kushitukiza na kufunga goli bora. Pia walijiamini, walikuwa na mipango na kuwayumbisha wana fainali hao wa 2010 nchini Afrika kusini na wababe wa mabingwa Hispania katika mchezo wa kwanza ambao walishinda mabao 5-1.Bao la kwanza la Uholanzi lilifungwa na Arjen Robben, lakini Australia wakasawazisha kupitia kwa Tim Cahil.

Autralia waliandika bao la kuongoza kupitia kwa Mile Jedinak kwa mkwaju wa penati, lakini Robin Van Persie aliisawazishia Uholanzi na hatimaye Memphis Depay akitokea benchi alifunga bao la tatu na la ushindi.


Mlinda mlango wa  Australia,  Matthew Ryan akiangalia mpira uliopigwa na Depay na kuzama kimiani.


Cahill  akishangilia bao lake

 
 

Mshambuliaji wa Manchester United ,  Van Persie akishangilia bao lake la tatu katika fainali za mwaka huu za kombe la dunia.

BYE BYEEEE SPAIN,WATOLEWA KWA AIBU YA KUFUNGWA MECHI ZOTE MBILI CHILE WAJIPIGIA GOLI ZA 2.

Del Bosque aliitazama Hispania yake ikitolewa katika hatua ya makundi.

Dahhhh Hatuna chetu tena, twendeni nyumbani `tukaangaliage` kwenye TV tu!: Kampeni za Hispania katika kombe la dunia mwaka huu zimeisha mapema

 Aibuuuu ila nitafanyaje sasaaa dahhhhhhhh
 Siaminiiiiiiiiii Ndo Tumetolewa kweliiiiiiiiiii
Sergio Ramos akiwa haaamini na macho yake yote mawiliiiii dohhhhh

Eduardo Vargas akishangilia bao la kuongoza la Chile dhidi ya Hispania kombe la dunia

 
 
Dahhhhh Kweli Hiii ni aibuu Kocha wa Spain akiwa kichwa chini baaada ya kutunguliwa na chile.

Friday, June 13, 2014

Brazil 3-1 Croatia: Neymar scores twice (and escapes a sending off) as Oscar stunner rounds off opening win for hosts.

Oscar, the man of the match, also scored the goal of the night and placed sufficient distance between these teams to ensure credibility, of sorts. Will it be enough to save this World Cup from the wave of cynicism that overwhelms any event touched by FIFA these days? We shall see.
A tournament that needed a Brazilian win, got one. It also got an outrageously poor penalty award, to the hosts, an equally soft disallowed goal, for their opponents and a dubious decision that kept the poster boy of the tournament and scorer of two Brazilian goals, Neymar, on the field when he could easily have been sent off. The score at the time was 1-0 to Croatia.
So, not a good night for referee Yuichi Nishimura of Japan who will feature in many conspiracy theorists most fevered speculations from here. He was almost certainly useless, not corrupt, but it is true that his three big errors were all to the benefit of one team.
Neymar the Redeemer: Brazil's No 10 strikes a pose after his second goal and looks like the famous statue in Rio
Neymar the Redeemer: Brazil's No 10 strikes a pose after his second goal and looks like the famous statue in Rio
Spot on (just about): Neymar puts his penalty past Stipe Pletikosa despite the Croatia keeper getting a hand to it
Spot on (just about): Neymar puts his penalty past Stipe Pletikosa despite the Croatia keeper getting a hand to it



Match facts

Brazil: Julio Cesar 6; Dani Alves 5.5, Thiago Silva 6, Luiz 6, Marcelo 5.5, Paulinho 6 (Hernanes 63, 6), Gustavo 7, Hulk 6 (Bernard 68, 6), Oscar 8, Neymar 8 (Ramires 88), Fred 6.5.
Subs: Jefferson, Fernandinho, Dante, Maxwell, Henrique, Willian, Jo, Maicon, Victor.
Goals: Neymar 29, 71 (pen), Oscar 90.
Booked: Neymar, Gustavo
Croatia: Pletikosa 6, Srna 6.5, Corluka 7, Lovren 6.5, Vrsaljko 6; Modric 7, Rakitic 7, Perisic 6.5, Kovacic 6 (Brozovic 62, 5), Olic 6, Jelavic 6.
Subs: Zelenika, Pranjic, Vukojevic, Schildenfeld, Rebic, Sammir, Vida, Eduardo, Subasic.
Goal: Marcelo 11 (og)
Booked: Corluka, Lovren.
Man of the match: Oscar.
Referee: Yuichi Nishimura (Japan) 5.
Attendance: 61,000
Ratings by MATT LAWTON in Sao Paulo

Click here to view more brilliant World Cup Match Zone

Thursday, June 12, 2014

Brazil Mambo Tayari...

image

Ilikuwa miaka, miezi, wiki, siku na sasa ni saa tu kwa mambo kuwa hadharani nchini Brazil katika ufunguzi wa michuano ya Kombe la Dunia.
Katika taifa hilo la wachawi wa soka na samba, Brazil wanaanza kwa kucheza na Croatia usiku wa Alhamisi hii.
Brazil wanatarajiwa kuingiza dimbani kikosi kile kile kilichowanyoa Wahispania kwenye fainali ya michezo ya Kombe la Mabara.
Kiungo mchezeshaji, Oscar, anatarajiwa kuanza licha ya kutokuwa katika kiwango cha hali ya juu huku vyombo vya habari vikimpigia debe mchezaji mwenzake wa Chelsea, Willian.
Croatia wanaanza bila mpachika mabao, Mario Mandzukic anayetumikia adhabu ya kukosa mechi moja, hivyo Nikica Jelavic au Eduardo watashika nafasi yake.
Sime Vrsaljko atacheza katika beki ya kushoto badala ya majeruhi Danijel Pranjic
Sherehe za ufunguzi zinakuja baada ya mechi 820 za kufuzu zilizoshirikisha timu 202 kutoka mabara yote na kuchujwa hadi kufikia timu 32 tu zilizoingia kwenye fainali hizi.
Hizi ni fainali ambazo ni za gharama kubwa zaidi katika historia ya Kombe la Dunia na baadhi ya wananchi wa Brazil waliandamana kupinga matumizi hayo, wakidai kwamba bora fedha zingeelekezwa kuboresha maisha yao, jambo ambalo limebezwa na wananchi wengi pamoja na viongozi wao.
Mchezo wa usiku huu unakuja wakati ambapo historia ikionesha hakuna nchi mwenyeji iliyopata kupoteza mechi ya ufunguzi, hivyo shinikizo lipo kwa Brazil.
Kocha wa Vroatia, Niko Kovac amesema kwa kuwa wakweli ni kwamba Brazil wanapewa nafasi ya kushinda mechi hiyo kutokana na uenyeji lakini pia kwa uwezo wa wachezaji wake wenye vipaji.
“Tumekuja kwa ajili ya kucheza, kushindana na tutaonesha uwezo wetu wote uwanjani. Wachezaji wana ari kubwa kwa mechi hii inayosubiriwa na mamilioni ya watu kote duniani. Wataonesha kiwango cha hali ya juu,” anasema Kovac.
Mechi ya mwisho iliyokutanisha timu hizi ilifanyika 2006 ambapo Brazil walishinda 1-0 kutokana na bao la Kaka jijini Berlin, Ujerumani.
Agosti 2005 timu hizo zilitoka sare 1-1 katika mashindano mengine, na nchi hizi hazijakutana tena.
Brazil wameshinda mechi zao tisa zilizopita wakifunga mabao 30 na kufungwa mawili tu, hivyo kuonesha jinsi walivyo na uwezo mkubwa. Wamefungwa mechi moja tu kati ya 21 zilizopita.
Brazil ni nchi pekee ambayo haijakosa hata fainali moja ya Kombe la Dunia tangu kuanzishwa kwake.
Katika mashindano hayo wameshinda mechi 67, wakafunga mabao 210 lakini ni wachezaji sita tu katika kikosi cha sasa ambao wamepata kushiriki michuano hii, ambapo wanafundishwa na Luiz Felipe Scolari ‘Big Phil’ ambaye ni Mbrazili.
Tangu Kovac awe kocha wa Croatia, hawajafungwa katika emchi tano ambapo wameshinda tatu na kwenda sare mbili.

Messi: Argentina drought has gone on too long.

Messi: Argentina drought has gone on too long

Argentina skipper Lionel Messi is determined to end his side's major trophy drought at the World Cup in Brazil.
The Albiceleste last triumphed in the competition way back in 1986 and have failed to win the Copa America since 1993.

The Barcelona star has acknowledged that going so long without silverware is unacceptable for Argentina and is determined to put that right over the next month."In Argentina, we have not won a major trophy for the last 20 years or so," he told the Times of India."We were the hosts of the Copa in 2011 but failed to win it. For a proud football-playing nation, 20 years is too long without winning a major trophy. So, we all are eager to do something in Brazil.

"Who doesn't want to win a World Cup for his country? I am an Argentine and we have won two World Cups, the last one being 28 years ago, before I was even born.
"I have not seen the celebrations of the fans in our streets after winning the most coveted prize in football. I've only heard about it. "To witness it would be very special. But to do so, we need to win the trophy, which is the most difficult job under the sun for a football team."

The only time Argentina can meet hosts Brazil is in the final but Messi is refusing to think about getting that far just yet, arguing that their group, including Bosnia-Herzegovina, Iran and Nigeria poses threats of its own. "We are not obliged to think as far [as the final]. In Barcelona, we always say think only of the next game. That is the best approach for any team.

"At the moment, we are only concentrating on our first-round opponents, especially on Bosnia-Herzegovina, who we will open our account against at the World Cup in Rio de Janeiro."An easy match in the World Cup? Are you kidding? Bosnia might be making their debut but we know they are a strong and disciplined European team with stars like Edin Dzeko having inspired them to qualify for Brazil."
 

Blatter: One day football will be played on other planets.

Blatter: One day football will be played on other planets

The Fifa president, who on Tuesday faced calls to stand down from several high-ranking Uefa delegates, has suggested that Earth might not be the limit of football's expansion.

Sepp Blatter insists there is no reason why football could not one day be played on other planets.
Speaking at the start of the second day of Fifa congress in Sao Paulo, Blatter delivered a speech aimed at highlighting the global reach of the game and its potential to bring about change in the world.

But as he finished addressing the assembled Fifa dignitaries and journalists, the 78-year-old speculated that Earth might not be the limit of football's expansion.
"We should wonder if one day our game will be played on other planets. Why not? And then instead of a World Cup we would have an inter-planetary competition," he said.

Such comments are unlikely to do Blatter any favours at a time when his position as Fifa president is coming under renewed pressure from several high-ranking Uefa delegates, who on Tuesday called for him to stand down.

The Swiss, who succeeded Joao Havelange as Fifa president in June 1998, is considering running for a fifth term as head of the organisation in 2015.
But both Blatter and Fifa have been criticised for their perceived unwillingness to tackle the scandals that have dogged world football's governing body in recent times - specifically allegations of corruption over World Cup bids and the problems surrounding the preparation work for the 2014 finals in Brazil.

Blatter caused fresh controversy earlier this week when he claimed that the British media's coverage of allegations of impropriety in Qatar's successful bid to host the 2022 World Cup was "racist".

Messi wants World Cup final showdown with Neymar.





Messi wants World Cup final showdown with Neymar

Argentina captain Lionel Messi is eager for a World Cup final showdown against Neymar's Brazil.
Messi has seen Argentina get eliminated in the quarter-finals of both his previous World Cups, with the four-time Ballon d'Or winner scoring just once in eight appearances at the finals.
And the 26-year-old would like nothing better than to lead his side to global glory in Brazil by seeing off a home side led by Barcelona team-mate Neymar.
"It would be a dream to get to the World Cup final," Messi told Sport.
"Hopefully I can play Neymar in the final."
The Barca star has admitted to being hurt by accusations that he does not endeavour to reach the same standards for his country as he does at club level, but he is desperate to lay to rest his earlier struggles with the Albiceleste in Brazil.
"We're really looking forward to the tournament. I think I've learned what I did wrong in previous editions and I don't want to repeat those mistakes," added the 26-year-old.
Argentina begin their Group F campaign against Bosnia-Herzegovina on Sunday, before then facing Iran and Nigeria.

Beating Brazil in the final would be like an orgasm, says Maradona



Beating Brazil in the final would be like an orgasm, says Maradona

Argentina legend Diego Maradona claims that beating hosts and bitter rivals Brazil in the World Cup final would be "like an orgasm".

Maradona, who famously helped guide his country to World Cup glory in 1986, believes Alejandro Sabella's men should be aiming to at least reach the final at Maracana on July 13.

Both Argentina and Brazil are among the tournament favourites, but Sabella's side will first have to escape Group F, which also contains debutants Bosnia-Herzegovina, Iran and Nigeria.

If Argentina were to reach the final and subsequently pip five-time world champions Brazil to the title, Maradona has no doubts that it would be the perfect victory.

The 53-year-old told Diario Ole: "Hopefully they can do it [reach the final]. The target will be to reach that point.
"There, Argentina can open up against Brazil, who will surely be in the final. To beat Brazil in the final would be like an orgasm."

The former Barcelona and Napoli star also continued his long-standing feud with Brazil legend Pele before dismissing comparisons between Neymar and Lionel Messi.
"How have I been received in Brazil? Better than Pele, although that is not saying much," he continued.
"You can tell Pele to go back to the museum. It's clear that the distance between Messi and Neymar is the same between Maradona and Pele.

"Neymar is today's Pele. In Brazil he is bigger, everyone is looking to him as the great figure of Brazilian football."

Maradona also believes Messi will be able to hit his best form for Argentina this year, something he hasn't done at a major international tournament as of yet.
"If an individual inspires the team with his brilliance, it helps immensely," he wrote in Times of India. "That is why I believe the presence of Messi and Ronaldo will help Argentina and Portugal play better.

"These two are the best of this generation and both are yet to play at the best of their abilities in the biggest tournament."

Rooney: Unlike Ronaldo, I'm not chasing personal World Cup glory




Rooney: Unlike Ronaldo, I'm not chasing personal World Cup glory

England forward Wayne Rooney says that, unlike Cristiano Ronaldo, he is not out to write himself into the history books with individual acclaim at the World Cup.
After two difficult previous campaigns in the tournament, in which he has yet to score, the Manchester United man has taken steps to relax and enjoy it more this time around, having benefited from the Three Lions’ resident psychologist, Dr Steve Peters.


Though he admires his former team-mate, Ronaldo, for his drive for personal glory, Rooney would prefer to be part of a team effort.
"I’m not a player who needs [a legacy]," he told The Guardian. "Cristiano Ronaldo ... he has to have that. You admire him for that. You can see how he is. He wants his moments.
"I'm more about winning as a team. It's more important to me. I've won the PFA Player of the Year and it’s nowhere near as good as winning a trophy with Manchester United.
"I've spoken to [Dr Peters] a few times. I found him great and easy to talk to and he will be a big help.
"I've been putting myself under too much pressure [in previous tournaments]. Maybe the media have put me under a lot of pressure and I've tried to respond to that - this time I haven’t and I’m not going to.
"I've learned that I have to enjoy this one because, if I’m honest, I haven't enjoyed the last ones. They've not gone well and, all of a sudden, you're looking back, they've gone and you didn't enjoy it. Regardless of what happens, I'm going to make sure I take positive memories from [this one] because there's no point in doing it if you're not enjoying it.

"I want to do well. I know that if I play well, the team will play well and I feel great, better than I have for years. I'm ready for this tournament. I've had time to prepare with the team. I've gone into previous tournaments with little niggles or different things but I've not missed a session this time."

Italy are first up for Roy Hodgson's side in Manaus on Saturday and Rooney feels that a high-tempo approach could give England a real chance of victory.

"The Italian defenders I've played against tend to read the game really well. They put themselves in good positions but, if I'm honest, when you play a high tempo against them, they struggle," he observed.

"The Italian league is nowhere near the tempo of the Premier League. Even when we played AC Milan and [Alessandro] Nesta and [Paolo] Maldini were their centre-halves, they really struggled when we played a high tempo. If we can do that, I am sure we will give them problems."

TEAM PARTICIPATING