Mchezaji wa Real Madrid na Ureno, Cristiano Ronaldo amekuwa staa wa pili duniani baada ya Shakira kufikisha likes milioni 100 kwenye mtandao wa Facebook.
Ronaldo pia ni miongoni mwa wanamichezo mwenye followers wengi kwenye mtandao wa Twitter akiwa na milioni 30. Hii ni moja ya sababu inayomfanya mwanamichezo huyo kuingiza fedha nyingi zaidi kuliko wenzie hasa kwenye soka.
Kupitia ukurasa wake wa Facebook wa mwanamichezo huyo ameandika: I’m so happy I reached 100 million friends on Facebook. It’s amazing! Thank you everyone.









No comments:
Post a Comment